Upinzani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati umeiambia AFP siku ya Jumatano kuwa utasusia uchaguzi wa Disemba ambapo Rais Faustin-Archange Touadera anawania muhula wa tatu.

Viongozi wa jukwaa la upinzani, BRDC, wanasema hawana imani na maandalizi ya uchaguzi huo.

Walikuwa wanapinga uwezekano wa Touadera kugombea muhula mwingine wakati wa kura ya maoni kuhusu katika mpya iliyopitishwa 2023.

Uchaguzi wa Urais, ubunge, serikali za mitaa unatarajiwa kufanyika Disemba 28.

Mazungumzo yaliyokwama

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *