Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekubali kubadilishwa kwa baadhi ya vipengele via mpango wa amani kati ya nchi yake na Urusi ili kumaliza mgogoro unaoendelea baina ya nchi hizo.
Taarifa zaidi inasimuliwa hapa.
Mhariri @moseskwindi
#AzamTVUpdates #UTV108 #AdhuhuriLive