Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya na Umoja wa Afrika wameahidi kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, biashara na kukabiliana na changamoto za uhamiaji usio wa lazima / Majeshi ya serikali ya Sudan yamedai kuwa yamezuia jaribio la wapiganaji wa RSF kufanya mashambulizi licha ya kundi hilo kutangaza kusitisha mapigano siku ya Jumatatu