#HABARI: Watu watatu wamenusurika kifo eneo la Mtaa Mafiati jijini Mbeya baada ya magari mawili kugongana, gari la kwanza ni gari mali ya Shirika la Umeme nchini (TANESCO-EMERGENCY) na gari aina ya Coaster mali ya Kampuni ya Cocacola.
#HABARI: Watu watatu wamenusurika kifo eneo la Mtaa Mafiati jijini Mbeya baada ya magari mawili kugongana, gari la kwanza ni gari mali ya Shirika la Umeme nchini (TANESCO-EMERGENCY) na gari aina ya Coaster mali ya Kampuni ya Cocacola.