Wachongaji na wafanyabiashara wa vinyago katika Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara wameomba wadau mbalimbali kuwashika mkono kwa kununua bidhaa zao ili kuenzi mila, desturi na tamaduni za Kitanzania.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Wachongaji na wafanyabiashara wa vinyago katika Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara wameomba wadau mbalimbali kuwashika mkono kwa kununua bidhaa zao ili kuenzi mila, desturi na tamaduni za Kitanzania.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi