Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, waasi wa AFC/M23 wamesema wako tayari kuondoka kutoka mji wa Uvira / Sudan kwa mara nyingine tena imeongoza orodha ya waangalizi wa kimataifa wa migogoro ya kibinadamu iliyotolewa na Shirika la Kimataifa la Misaada ya Kiutu la International Rescue Committee (IRC).