13.01.2026 Matangazo ya Mchana13.01.2026 Matangazo ya Mchana
SK2 / S02S13 Januari 2026

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema utawala wa sasa nchini Iran huenda ukawa unakaribia mwisho wake kufuatia maandamano makubwa yanayoendelea nchini humo / Serikali ya Somalia imetangaza kubatilisha makubaliano yote na Umoja wa Falme za Kiarabu

https://p.dw.com/p/56jlr

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *