Rais Samia amuomboleza mwanamuziki Steven Hiza
Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, kufuatia kifo cha mwanamuziki mkongwe, Steven Hiza. Hiza amefariki jana jioni nyumbani…