Nidhamu ya fedha si kipato, ni chaguo
Imani iliyoenea ni kwamba matatizo ya fedha husababishwa na kipato kidogo, ingawa kipato ni...
Imani iliyoenea ni kwamba matatizo ya fedha husababishwa na kipato kidogo, ingawa kipato ni...
Kwa miongo kadhaa, uchumi wa Tanzania umekuwa na taswira mbili tofauti: upande mmoja ni miji...
Wakati dunia ikiwa kwenye kilele cha mapinduzi ya nne ya viwanda, teknolojia ya akili unde (AI)...
MSHIKEMSHIKE: CAFCL: Petro De Luanda Vs Simba SC, AS FAR Vs Yanga SC, Jumamosi hii. Mechi gani unaisubiri kwa hamu na kwa nini? Tuandikie maoni yako na sisi tutayasoma kwenye…
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi na ujumbe wake, amerejea tena jijini Washington nchini Marekani, miezi miwili baada ya kutiwa saini kwa mkataba wa amani na Rwanda,…
Ufaransa inakaribisha kufunguliwa tena, hata kwa sehemu, kwa kivuko cha Rafah, kama ilivyoainishwa katika mpango wa amani wa Marekani. Paris pia inakaribisha kupelekwa tena kwa misheni ya kiraia ya Umoja…
Mwimbaji staa wa Tanzania, Harmonize alimvisha mpenzi wake wa muda mrefu Frida Kajala pete ya uchumba mwezi mmoja baada ya kurudiana. Walitenga 2022.
Rais wa China Xi Jinping amezungumza na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin na kisha na Rais wa Marekani Donald Trump mnamo Februari 4. Ingawa alitoa wito wa ushirikiano wa pande…
Kakamega Homeboyz waliomboleza kifo cha kusikitisha cha beki Silas Abungana, ambaye alifariki kutokana na majeraha aliyopata katika shambulio la usiku.
Afisa mwandamizi wa serikali ya Ukraine anasema nchi yake haitakubali masharti yasiyofaa, kama vile hatua za upande mmoja za kuondoa wanajeshi kutoka mistari ya mbele, ili kukomesha mapigano na Urusi.
Afisa mwandamizi wa Ukraine anasema mazungumzo ya amani ya ngazi ya juu na nchi za Urusi na Marekani ya Februari 4, yalikuwa "ya kweli na yenye tija."
Picha za CCTV ilionyesha mjakazi akimfanyia mtoto mdogo wa bosi wake kitendo cha ajabu, video hiyo imesababisha hasira na wito wa ufuatiliaji majumbani.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema siku ya Jumatano, Februari 4, kwamba mazungumzo na Marekani yalipangwa kufanyika siku ya Ijumaa, Februari 6, nchini Oman, huku kukiwa…
Kamandi ya Marekani barani Afrika (AFRICOM) imetangaza kupeleka kikosi kidogo cha kijeshi cha Marekani nchini Nigeria na hivyo kwa mara ya kwanza kukiri rasmi kutumwa wanajeshi wa Marekani katika nchi…
Nchi wanachama wa Kundi la Marafiki Watetezi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa zimetoa taarifa ambayo imelaani hatua ya hivi karibuni ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu…
Katika nchi nyingi za Afrika, matumizi ya vinywaji vya mitishamba (majimaji ya mizizi au majani yaliyochemshwa) ili kusaidia kufunguka kwa mlango wa uzazi na kuimarisha uchungu yameenea sana.
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, ameonyesha kutoridhishwa na kanuni za Kombe la Carabao...
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amekutana na Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi huko Cairo siku ya Jumatano, Februari 4, wakisaini mikataba 18 mipya ya ushirikiano wakati wa ziara…
Halijoto katika baadhi ya maeneo ya Japani ni za joto kiasi kwa wakati huu wa mwaka, na kuongeza hatari ya theluji kuanguka kutoka kwenye paa. Lakini hali ya hewa ya…
Idara ya Kukabiliana na Moto na Majanga ya Japani imesema theluji nyingi na baridi kali tangu Januari 20 imesababisha vifo vya watu 38 nchini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema mazungumzo kati ya Iran na Marekani yamepangwa kufanyika Oman Februari 6.
Rais wa Marekani, Donald Trump, na mwenzake wa China, Xi Jinping, walizungumza kwa simu Februari 4. Trump alisema wana uhusiano "mzuri sana", na kwamba walijadili masuala mbalimbali ikiwemo juu ya…
Mkataba wa kudhibiti silaha za nyuklia uliosainiwa kati ya Marekani na Urusi, mataifa mawili ambayo yanamiliki idadi kubwa mno ya vichwa vya nyuklia duniani, unatarajiwa kuisha Februari 5.
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amemwambia mwenzake wa China, Xi Jinping, kwamba Urusi itawajibika ipasavyo huku mkataba wa kudhibiti silaha za nyuklia kati ya Urusi na Marekani ukiwa unamalizika Februari…
Shambulio jipya limegharimu maisha ya watu wasiopungua 162 siku ya Jumanne, Februari 3, katika kijiji cha Woro, katikati mwa magharibi mwa Nigeria, huku nchi hiyo ikizidisha juhudi zake za kupambana…
Kocha wa timu ya soka ya Manchester City, Pep Guardiola, amesema mauaji ya watu wasio na hatia duniani kote yanamuathiri sana na amewahimiza walimwengu wasinyamazie kimya dhulma zinazofanywa.
Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimelaani mpango wa tume ya Uchaguzi wa Zanzibar (ZEC) wa kuchoma na kuteketeza nyaraka za Uchaguzi wa Oktoba 2025, uliofanyika visiwani humo.
Watu wenye silaha wamewaua karibu watu 200 magharibi na kaskazini mwa Nigeria. Hayo yameelezwa na maafisa wa serikali na wakazi wa maeneo hayo huku manusura wakiwazika wenzao waliouawa na askari…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa, Mkataba wa New START, unaoweka mipaka ya silaha za nyuklia kwa madola mawili makubwa zaidi duniani yanayomiliki silaha hizo, yaani nchi…
James Maina na Daniel Nudhu walipatikana wamekufa katika shamba la mahindi, inadaiwa baada ya kulazimishwa kula mahindi mabichi na pilipili. Familia zinatafuta haki.
Karibu miaka kumi na tano baada ya kifo cha Muammar Gaddafi, aliyeuawa huko Sirte mnamo mwaka 2011, kuuawa kwa mwanawe Saif al-Islam siku ya Jumanne, Februari 2, huko Zintan, kaskazini…
Chama cha Muungano cha Azimio la Umoja One Kenya kinakabiliwa na msukosuko huku vyama washirika vikikataa mabadiliko ya uongozi, vikiviita vya uongo na visivyo wazi.
Mapitio ya #MAGAZETI leo Februari 5, 2026 kwenye #Moorning Trumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Seneta Edwin Sifuna alifichua kukatishwa tamaa kuhusu mazishi ya Raila Odinga, kutengwa kwa ODM, na masuala ya katiba katika kuteua uongozi wa mpito wa chama.
Hali ya kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imefikia viwango vikubwa. Kulingana na ripoti ya hivi karibuni kutoka Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya…
DJ Krowbar alimsifu marehemu mkewe Joyce Wanjiru Karumba kwa machozi, akikumbuka kumbukumbu nzuri na kuomba maombi kwa ajili ya familia yake na watoto wake.
Katika miezi miwili iliyopita, Wizara ya Sheria ya Marekani imetoa mamilioni ya nyaraka zinazohusiana na uchunguzi wake wa biashara ya ngono dhidi ya Jeffrey Epstein. Sasa, rais anataka taifa liendelee…
Wasiwasi mpya umeibuka kuhusu uwepo unaoongezeka wa mfanyabiashara mtata wa Zimbabwe Wicknell Chivayo katika duru za nguvu za Kenya kabla ya uchaguzi wa 2027.
Soma zaidi hapa...
Chama cha Mapinduzi (CCM), leo Februari 5, 2026 kinaadhimisha miaka 49 tangu kuanzishwa kwake...
Wapatanishi wa Ukraine na Urusi wameanza duru ya pili ya mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani Jumatano huko Abu Dhabi, wakiendeleza juhudi za kumaliza mzozo mkubwa zaidi barani Ulaya tangu Vita vya…
Ukraine imesema imeridhishwa na jinsi mazungumzo kuhusu vita kati yake na Urusi yanavyokwenda huko Abu Dhabi. Mazungumzo hayo yaliyoanza jana yanaendelea tena leo huku Ukraine ikipania kusisitiza dhamana ya usalama.
Iran na Marekani zitafanya mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran nchini Oman siku ya Ijumaa. Mazungumzoi hayo yalikuwa yafanyike nchini Uturuki.
Kundi la waasi wa M23 limedai kuhusika na shambulizi la ndege zisizo na rubani lililolenga uwanja wa ndege muhimu mjini Kisangani kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Makamu wa Rais wa zamani Kalonzo Musyoka amepuuzilia mbali ulinganisho wa Singapore kama mpango mwingine wa serikali ambao haukufanikiwa, akiufananisha na Mfuko wa 'Hustler', ambao umekabiliwa na ukosoaji juu ya…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ametangaza kwamba mazungumzo ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani yanatazamiwa kufanyika katika mji mkuu wa Oman, Muscat kesho…
Waziri wa Usalama wa Iran, Esmail Khatib, ameonya kuwa nchi za Magharibi zitakumbana na madhara ya hatua yao ya kulitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuwa eti…
Kundi la wasomi, wanafalsafa na wanaharakati kutoka sehemu mbalimbali za dunia limetangaza kumuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, pamoja na juhudi zake za ujasiri na…
Harakati za zama za sasa za kutumia mashine kwenye sekta ya kilimo barani Afrika lazima zitofautiane na harakati za zamani ili hatua hizo ziwe endelevu. Hayo yamesemwa na Beth Bechdol,…