Month: February 2026

05.02.2026

Iran na Marekani zimekubaliana kufanya mazungumzo ya nyuklia kesho Ijumaa nchini Oman+++Hasira na maswali mengi yanaendelea kuibuka nchini Senegal, kufuatia tuhuma nzito dhidi ya kampuni ya Kichina ya Softcare, inayotengeneza…

NBA

NBA New York Knick watakuwa Madison Square Garden wakiwakaribisha Nikola Jovic akiwa na chama lake la Denver Nuggets Knicks wameshinda mechi Saba mfululizo, je wataongeza ushindi wa Nane? San Antonio…