Vita vya kieneo; maana yake na jinsi vinavyotokea
Kwa mujibu wa ripoti ya Pars Today, kutokana na uchochezi na vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Iran, Tehran imeonya kwamba shambulio lolote la kijeshi kutoka Marekani dhidi…
Kwa mujibu wa ripoti ya Pars Today, kutokana na uchochezi na vitisho vya mara kwa mara vya Marekani dhidi ya Iran, Tehran imeonya kwamba shambulio lolote la kijeshi kutoka Marekani dhidi…
Leo ni Alkhamisi tarehe 16 Sha'bani 1447 Hijria, sawa na Februari 5 mwaka 2026.
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amekutana na mwenzake wa Misri Abdel Fattah al-Sisi mjini Cairo Jumatano. Ametia saini mikataba mipya ya ushirikiano na kuashiria umoja wa pande mbili kuhusu…
Mwanamfalme huyo wa zamani, ambaye amekuwa akikamusha kufanya makosa yoyote, hapo awali alisema kuwa picha hiyo imefanyiwa ukarabati na kudai kuwa hajawahi kukutana na Giuffre.
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz ameanza ziara yake ya kwanza ya eneo la Ghuba itakayompeleka Saudi Arabia, Qatar na Umoja wa Falme za Kiarabu.
Cristiano Ronaldo kuomba kuondoka Al-Nassr mwezi Juni, Elliot Anderson wa Nottingham Forest anayeongoza orodha ya wachezaji wanaolengwa na Manchester United, Atletico Madrid wanapanga kumsajili Cristian Romero wa Tottenham.
Iran na Marekani zimekubaliana kufanya mazungumzo ya nyuklia kesho Ijumaa nchini Oman+++Hasira na maswali mengi yanaendelea kuibuka nchini Senegal, kufuatia tuhuma nzito dhidi ya kampuni ya Kichina ya Softcare, inayotengeneza…
Ukraine yasema mazungumzo na Urusi na Marekani yanayoendelea Abu Dhabi ni ya tija. Iran na Marekani kufanya mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia nchini Oman. Na Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz…
Tunataka sauti yako! - Taarifa | NHK WORLD-JAPAN Live & Programs
#CarabaoCup Game over... City wanaifuata Arsenal fainali...patamu hapo .!!! FT: Man City 3-1 Newcastle United (Agg: 5-1) Burudani zinaendelea LIVE #AzamSportsHD #EFL #KombeLaCarabao #ManCityNewcastle
MAPUMZIKO | #CarabaoCup HT: Man City 3-0 Newcastle United (Agg: 5-0) LIVE #AzamSports1HD #EFL #KombeLaCarabao #ManCityNewcastle
#DFBPokal Kipindi cha pili kimeanza...bado hakuna bao...Je, nani anakwenda nusu fainali!!? 47': Holstiel Kiel 0-0 Stuttgart LIVE #AzamSports2HD #GermanyCup #KielStuttgart #KSVVfB
BSS MEDIA TOUR | Jaji mpya wa #BSS msimu wa 16, @coy_mzungu amemshukuru Jaji Mkuu na Mkurugenzi wa Benchmark 360, @msritapaulsen kwa kuwapa nafasi vijana wenye vipaji vya kuchekesha kuonesha…
BSS MEDIA TOUR | Ujumbe kutoka AzamTV umewasilishwa vyema na Mkuu wa Chaneli ya Sinema Zetu, @sophiamgaz ambaye anakuambia kaa mkao wa kufurahia burudani halisi. #BSS #BongoStarSearch (Feed generated with…
BSS MEDIA TOUR | Tulianza na makofi ya kumpongeza jaji mpya wa @bongostarsearch atakayeshughulika na eneo la komedi (ucheshi) kwenye usili unaotarajia kuanza Februari 07 na 08 jijini Mwanza. #BSSNextLevelRevolution…
Sasa hivi anataka kuolewa na Ilbay (Feed generated with FetchRSS)
Wataalamu wa elimu nchini wameshauri kuzingatiwa kwa stadi zote za msingi za kujifunza lugha hususani kuzungumza na kusikiliza ili kuongeza na kuimarisha ufaulu wa wanafunzi katika masomo hayo. Taarifa ifuatayo…
Emine Erdogan amesema kuwa mazungumzo yao yalilenga masuala ya mshikamano wa kijamii yanayohusu ubinadamu kwa ujumla, huku akieleza matumaini kwamba ziara hiyo itaimarisha uhusiano wa nchi hizo mbili katika nyanja…
Sanaa na ubunifu inaendelea kukua nchini huku ubunifu wa mavazi kwa kutumia vitu vilivyotupwa ukianza kushika asi. Mwenzetu Esterbella Malisa amewatembelea wasanii na wabunifu wa mavazi yatokanayo na maboksi na…
Edwin Sifuna anakumbuka siku waliyokwenda kuchukua mwili wa Raila Odinga na kuhoji kwa nini ujumbe huo ulikuwa wa serikali na sio chama chake cha siasa.
CAFCC: Afisa Habari wa Singida BS, Hussein Massanza anasema kikosi chao kimeanza mazoezi visiwani Zanzibar wakijiandaa kuikaribisha CR Belouizdad Jumapili ya Februari 8, 2026. #CAFCC #KombeLaShirikishoAfrika
CAFCC: “Morali yetu imekuwa juu sana” Afisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe amebainisha namna walivyojipanga kuchukua alama zote sita kutoka kwa Nairobi United ambapo jambo hilo limetimia kikamilifu. Ibwe…
Serikali imeagiza Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Ardhini (LATRA) kuwachukulia hatua kali za kisheria madereva na makondakta wa daladala watakaobainika kuwanyanyasa wanafunzi huku wazazi na walezi wakipongeza hatua hiyo. Tumie…
Katika nchi mbalimbali kuanzia Uturuki hadi Australia, mabadiliko mapya ya kisheria yanaonyesha mtazamo wa pamoja kwamba uangalizi wa wazazi pekee hauwezi kuzuia madhara ya mitandao ya kijamii kwa watoto.
Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kimeweka mkazo mkubwa katika suala la elimu na uwajibikaji wa viongozi kama nguzo kuu za maendeleo ya jamii, wakati wa maadhimisho…
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuleta neema ya maendeleo kwa wananchi wa mkoa wa Arusha kwa kuanza utekelezaji wa mradi wa…
Taasisi za fedha nchini zimehimizwa kufanya uwekezaji kwa wajasiriamali na wabunifu wa bicha za kidijitali ambao wamejikita katika biashara ya nishati safi ya kupikia ili kuchangia katika ufikiwaji wa ajenda…
KUTOKA ANGOLA: “Wenyeji wetu Petro wamefanya maandalizi yote yanayohitajika kikanuni” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally anasema safari yao ya kwenda Luanda Angola, haikuwa na changamoto yoyote…
NBA New York Knick watakuwa Madison Square Garden wakiwakaribisha Nikola Jovic akiwa na chama lake la Denver Nuggets Knicks wameshinda mechi Saba mfululizo, je wataongeza ushindi wa Nane? San Antonio…
Jumla ya Sh983.9 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kufadhili miradi ya matengenezo ya barabara...
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Morogoro (Moruwasa)...
'Uchaguzi umeisha sasa ni kazi'. Ni kauli ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MCC), Salim...
Picha za CCTV za kutisha zinamnasa dereva wa teksi wa Eldoret akitoroka chupuchupu kwenye shambulio la majambazi kwenye pikipiki mapema saa 2 Februari, 2026.
Rais wa Uturuki Erdogan asema nchi yake inataka kuimarisha ushirikiano na Misri katika nyanja mbalimbali.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi ameungana na mamia ya wakazi wa Tabora katika maziko ya aliyekuwa Mbunge mstaafu wa Viti Maalumu mkoani kupitia…
Rais wa Ghetto Calvince Gaucho ameadhimisha bathidei yake katika ofisi ya Mama Ida Odinga, huku wakila keki kwa pamoja na kutaja ni ya kwanza bila Raila Odinga.
Wakala wa Huduma za Misitu Shamba la Miti Geita - Lwamgasa wameteketeza shamba lililolimwa bangi kwa kuchanganywa na mahindi.�Uteketezaji huo umefanywa kwa ushirikiano na Kamati ya ulinzi na Usalama wilaya…
#LIVE:TARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 04/2/2026
MAKALA MAALUMU: Jumatatu ya Februari 9, 2026 itakujia makala maalumu kuhusu asili na mapito ya Mbeya City. Unafahamu kuna mtu alitakiwa apelike chura mwenye mabaka…? Unafahamu kuna watu waliwapa watoto…
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na Rais wa Misri, Abdel Fattah el Sisi, wanatarajiwa kuhudhuria kikao cha kufunga cha jukwaa hilo.
UDA ya Rais William Ruto imepata umaarufu katika eneo la Nyanza, huku viongozi kadhaa wakionyesha nia ya chama hicho huku kukiwa na migogoro ya ndani katika ODM.
Hii imetokana na kukubalika kwa miundombinu yake na mazingira yaliyoandaliwa kwa ajili ya...
Watanzania wenye shida ya macho kama mtoto wa jicho, presha ya macho, kutokuona mbali wameitwa...
Baada ya mkasa wa mgodi wa madini ya coltan mjini Rubaya, mashariki mwa Kongo mamia ya familia ziko na sintofahamu. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu 200 wamefariki. Je nani anawajibika…
Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ya Geita, kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu...
#SportPesaLeague: Hizi hapa ‘chuma’ zote tatu zilizofungwa kwenye mchezo kati ya Nairobi United dhidi ya APS Bomet FC. Magoli ya APS Bomet yamefungwa na Antony Naibei na Dickson Mwangi. Goli…
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ameamua kuingilia kati sakata lililokuwa likiendelea...
Chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar cha ACT-Wazalendo kimepinga mpango wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, ZEC wa kuteketeza nyaraka zote za uchaguzi mkuu uliofanyika October 29, 2025 na kusema…
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya...