Zaidi ya kaya 100 katika vijiji vinne vya Halmashauri ya Mtama zimebaki bila makazi baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa, ambayo pia yameharibu mazao mbalimbali.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *