MZIZIMA DERBY: “…hajawahi kufurukuta…tunahitaji kumpiga hata mara tano”.

Mashabiki wa Azam FC wanasema mechi yon a Simba wameishamaliza…., wanasema Simba kwao ni kama muembe wa nyumbani…., wanasema wanamuamini kocha wao Ibenge “..ni mzee wa kusoma mchezo”

Je, wataweza kushinda tena, au wanajitutumua

#MzizimaDerby #SimbaSC #AzamFC #AzamSimba #Mashabiki

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *