Huko nchini Thailand katika mji wa Bangkok mlimbwende Kamolwan Chanago amejikuta picha zake zikisambaa katika mitandao ya kijamii baada ya baadhi ya meno yake bandia kudondoka alipokuwa jukwaani akijinadi.

✍ Halima Abdallah
Mhariri @moseskwindi

#AzamTVUpdates

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *