Chama Cha ACT-Wazalendo kimeshauriwa kumaliza tofauti zinzokwamisha uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) visiwani Zanzibar na kujitahidi kushughulikia malalamiko waliyonayo wakiwa ndani ya serikali.
Joseph Mpangala ana maarifa zaidi.
Mhariri @moseskwindi
(Feed generated with FetchRSS)
