#NBCPL Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge anasema malengo ni kucheza Kombe la Shirikisho Afrika, hivyo wanahitaji pointi nne katika mechi tano zilizosalia.
Hizi hapa kauli za makocha wote baada ya mechi.
FT: Azam FC 3-0 KMC FC
Saa 8:00 mchana ni Pamba Jiji vs Tanzania Prisons LIVE #AzamSports1HD
#NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuyaNBC #NBCUpdates #ImenogaZaidi #AzamFC #KMCFC #AzamKMC
(Feed generated with FetchRSS)
