
Marekani imetangaza siku ya Ijumaa, Juni 26, 2026, kwamba ilifanya mashambulizi nchini Iran kujibu shambulio dhidi ya meli ya biashara katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Walinzi wa Mapinduzi ya Iran wanadai kuwa wameshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Ghuba kwa kulipiza kisasi.
Imechapishwa:
Dakika 1 Wakati wa kusoma
Matangazo ya kibiashara
Kamandi Kuu ya Marekani (Centcom) ilisema ilishambulia vituo vya kuhifadhia makombora na ndege zisizo na rubani na sehemu za rada za pwani siku ya Ijumaa.
Ilisema hatua hiyo ilikuwa kujibu shambulio la ndege isiyo na rubani dhidi ya meli ya mizigo siku ya Alhamisi, tukio ambalo lilisimamisha mpango wa kuwahamisha maelfu ya mabaharia waliokwama katika eneo hilo.
Tehran ilisema meli hiyo ya mizigo ilishambuliwa kwa sababu ilikuwa ikitumia njia ambayo ahaijaidhinishwa kupita kwenye maji ya Ghuba.
Centcom ilisema hatua hiyo ilikuwa kujibu shambulio la ndege isiyo na rubani dhidi ya meli ya mizigo siku ya Alhamisi, tukio ambalo lilisitisha mpango wa kuwahamisha maelfu ya mabaharia waliokwama katika eneo hilo.
Tehran ilisema meli hiyo ya mizigo ilishambuliwa kwa sababu ilikuwa ikitumia njia ambayo ahaijaidhinishwa kupita kwenye maji ya Ghuba.
Centcom – ilielezea mashambulio hayo kama “jibu kubwa” la kulipiza kisasi shambulio la ndege zisizo na rubani za Iran.