Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amekagua mradi wa soko la kisasa linalojengwa wilayani Bukombe mkoani Geita sambamba na mradi wa ujenzi wa kituo cha mabasi katika hatua inayolenga kuboresha huduma na kuchochea maendeleo ya kiuchumi wilayani humo.
Miradi hiyo kwa pamoja inatarajiwa kuwanufaisha zaidi ya wananchi laki mbili na kuongeza mapato ya halmashauri kupitia ongezeko la fursa za ajira na uwekezaji.
Taarifa ya Ester Sumira.
Mhariri @moseskwindi
(Feed generated with FetchRSS)