Mashambulio matatu yaliyotekelezwa na makundi ya kijihadi nchini Burkina Faso, tangu mwezi Mei, yamesababisha vifo vya watu karibu 50, kwa mujibu wa ripoti za Shirika la Human Rights Watch.
Burkina Faso: Karibia watu 50 wameuawa katika mashambulio ya kigaidi tangu Mei