Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limeanzisha mashambulizi makali ya anga dhidi ya Mji wa Ghaza kwa saa kadhaa, ambapo mbali na kuwaua shahidi Wapalestina kadhaa linateketeza pia majengo na miundomsingi iliyosalia katika eneo hilo.
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
