EVODY: Beki aliyewazima mastaa Simba akiichezea Mtibwa Sugar

HAROUB Evody ndiye aliyekuwa shujaa kwenye mchezo uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 kati ya wenyeji Simba na Mtibwa Sugar kwa kukabidhiwa tuzo ya mchezaji bora baada ya dakika 90 kutamatika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *