DAR ES SALAAM: Droo inaonesha PSG wataanza nyumbani dhidi ya Chelsea katika hatua ya 16 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Hatua ya mtoano itaanza Machi 10.

Chelsea na PSG walikutana kwenye fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu, Chelsea walishinda mabao 3-0. Vurugu, fujo kutishana ilikuwa sehemu ya mchezo huo mara baada ya kumalizika. Haya waache wakauwane tena.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *