Mwalimu Anjelina Hyera, aliyekosa ajira kwa miaka kadhaa, ameamua kujitolea kufundisha masomo ya sayansi bila malipo katika shule ya sekondari Madaba iliyopo Wilaya ya Songea vijijini – Ruvuma.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *