Wananchi wa kijiji cha Nyankanga, Halmashauri ya Wilaya ya Butiama wameiomba serikali ikamilishe haraka mradi wa maji safi na salama, kwani hawajawahi kupata huduma hiyo tangu uhuru.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
(Feed generated with FetchRSS)