26 Septemba 2025

Mjini Pritoria wakaazi wakiwa wana zana za kuchomea nyama wamejitokeza kuvunja rekodi ya dunia ya japan ya watu 2,220. Lakini zaidi ya shindano hilo kuna ufahari ndani yake- Kwani wengi wanaamini kuchoma nyama, au Brai kama wanavyoita kuna urathi wa kitamaduni wa Afrika Kusini

https://p.dw.com/p/516sp

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *