Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu (Mb) leo Machi 24, 2026 amekagua ukumbi wa Bunge ambao umefanyiwa maboresho ya kuwekewa mfumo wa kisasa wa sauti ikiwa ni maandalizi kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 3 wa Bunge la 13 ambao mahususi kwaajili kujadili na kupitisha Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 ambao utaanza Machi 31, 2026.

Pia, Spika ameongoza kikao cha Tume ya Watumishi wa Bunge kilichojadili na kupitisha makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Bunge kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027.

#StarTvUpdate

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *