MZIZIMA DERBY: “…tarehe 5 hatuna msamaha…sasa tuna watu….walitufanya kitu mbaya wakati timu yetu mbovu”.

Cheche za mashabiki wa Simba kuelekea Dabi ya Mzizima dhidi ya Azam FC, Aprili 5; Wenyewe wanasema hiyo mechi wanaitaka sana.

Je, wataweza kulipa kisasi, au wanajitutumua

#MzizimaDerby #SimbaSC #AzamFC #AzamSimba #Mashabiki

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *