DW Kiswahili27 Septemba 2025

Zaidi ya Wapalestina 50 wameuawa Jumamosi katika mashambulizi ya Israel++++Syria yatoa waranti wa kukamatwa kwa Rais wa zamani Bashar Al Assad+++++Raia wa Ushelisheli wapiga kura kuchagua Rais na wabunge++++Iran yasema Marekani iliitaka isalimishe Urani yote iliyorutubishwa++++Droni zisizofahamika zaripotiwa kuonekana katika kambi za jeshi Denmark.

https://p.dw.com/p/51AGB

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *