#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Missenyi mkoani Kagera, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Florent Laurent Kyombo, amerejesha fomu ya kupeperusha bendela ya Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025-2030.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
#Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania