[ad_1]
Watu wasiopungua 24 wameuawa na wengine 55 kujeruhiwa kutokana na mashambulizi ya makombora ya waasi wa RSF katika mji mkuu wa El-Fasher, kaskazini mwa Darfur, magharibi mwa Sudan.
[ad_2]
BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Watu 24 wauawa katika mashambulizi ya waasi wa RSF magharibi mwa Sudan