
Rais wa chama cha wanasheria Kenya ajiuzulu jukumu alilopewa na Rais Ruto
Rais William Ruto aliunda timu ya watu 16, ikiongozwa na mshauri wake Profesa Makau Mutua, kusimamia fidia kwa waathiriwa wa maandamano tangu 2017, huku Faith Odhiambo akiteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa timu hiyo.