DIRA.BZ23 Oktoba 2025

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio ameelekea ziarani Israel+++Jeshi la Polisi visiwani Zanzibar limewataka maafisa wake kufanya kazi kwa umakini ili kuendeleza historia nzuri iliyowekwa kwenye kumbukumbu ya mwaka 2010 ambapo kwa mara ya kwanza uchaguzi wake haujamwaga damu.

https://p.dw.com/p/52UiY

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *