SK2 / S02S4 Septemba 2025

Viongozi wa mataifa ya Magharibi ambayo ni washirika wa Ukraine katika mzozo wake na Urusi, wanakutana leo Alhamisi mjini Paris+++Serikali ya Kenya imechukua uamuzi wa kusitisha zoezi ya kufukua miili katika kaunti ya Kilifi ili kutoa nafasi kwa wataalam wa vijinasaba kushughulikia miili 34 iliyopatikana.

https://p.dw.com/p/4zzhT

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *