Wakazi wawili wa Kata ya Msongozi, mkoani Morogoro wamefariki dunia na wengine wanne wameugua baada ya kula viazi pori. Theresia Mwanga anasimulia tukio hilo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Wakazi wawili wa Kata ya Msongozi, mkoani Morogoro wamefariki dunia na wengine wanne wameugua baada ya kula viazi pori. Theresia Mwanga anasimulia tukio hilo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi