Wakati baadhi ya vijana wananufaika na elimu ya mafunzo ya ufundi stadi kupitia mpango wa wanagenzi, kundi la vijana wasiopata fursa hizo limeiomba Serikali kupanua mpango huo ili uwafikie wengi zaidi.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *