Watu watatu wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na kanisa walimokuwa wamejikinga na mvua iliyoambatana na upepo mkali, iliyonyesha leo mchana, wilayani Bariadi mkoani Simiyu.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Watu watatu wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na kanisa walimokuwa wamejikinga na mvua iliyoambatana na upepo mkali, iliyonyesha leo mchana, wilayani Bariadi mkoani Simiyu.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi