Watu waliovalia mavazi ya viumbe wa kutisha ‘Krampus’ kutoka katika simulizi za jadi za maeneo ya Milima ya Alps, wameonekana wakipita mitaani mjini Munich – Ujerumani katika gwaride na kuwaadhibu watoto wenye tabia mbaya kwa viboko vya ‘fagio za miti’.
Gwaride hilo ni sehemu ya sherehe na tamaduni za kabla ya Krismasi kusini nchi hiyo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi