Aliyekuwa Waziri wa Nchi – Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Geofrey Mwambe amepatiwa dhamana katika Kituo Kikuu cha Polisi alipokuwa akishikiliwa.

Wakili wake, Hekima Mwasipu ameelezea tuhuma zinazomkabili mteja wake.

#AzamTVUpdates
Mhariri | @moseskwindi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *