Zimesalia siku 15 pekee mwaka 2025 utamatike…Najua mwishoni mwa 2024 uliweka malengo ya kufanikisha ndani ya 2025…Vipi umetoboa

Mwandishi wa Vitabu, Zakayo Iganja ameelezea mambo yanayokwamisha malengo kwa baadhi ya watu.

Msikilize

#AzamTVUpdates
✍ Warda John
Mhariri | @moseskwindi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *