Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kumsimamia vema mkandarasi anayejenga barabara ya Kitai hadi Ruanda ili aweze kuendana na kasi iliyotarajiwa.

Dkt Mwigulu amesema tayari Serikali imetoa fedha za ujenzi wa barabara hiyo kwa kutambua umuhimu wake kwenye uchumi wa mkoa huo na Taifa.
#StarTvUpdate

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *