SK2 / S02S17 Desemba 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Polisi wa Australia wamemfungulia mashtaka mshukiwa wa shambulio la Bondi Beach, Sydney, yakihusisha mauaji ya watu 15 / Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imelikataa tangazo la waasi wa M23 kwamba wanajiondoa kwenye mji wa Uvira ulioko Kivu Kusini.

https://p.dw.com/p/55XIM

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *