Msanii wa Bongo Fleva @iamkevincash amesimulia namna mama yake alivyojitolea kusaidia kukuza kipaji chake kwa kumkutanisha na wasanii wakubwa kama @gnakowarawara na @darassacmg255 ili aweze kushirikiana nao.

Amesema mama yake alipokutana na Darassa safarini, alimuomba amsaidie mwanawe, na Darassa alikubali. Wakati Kevin akiishi kwa Darassa, alipata nafasi ya kukutana na @jaivah na wakafanya kazi pamoja.

Cc @missloloh_ @djfantastic255
#TheSparkShow
#clouds26nyoosha

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *