[ad_1]
Katika hatua ya kihistoria, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio lililopendekezwa na Ufaransa na Saudi Arabia, na kutangaza kuunga mkono kuanzishwa kwa nchi huru la Palestina na kutekelezwa njia ya ufumbuzi wa serikali mbili.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Je, dunia mara hii ina nia ya kufanikisha kuasisiwa nchi huru ya Palestina?