
Sudan inakaribisha juhudi za amani kumaliza vita na RSF, inakataa kuingiliwa na mataifa ya kigeni
Matamshi ya Sudan yanakuja baada ya taarifa ya pamoja ya Misri, Saudi Arabia, Imarati na Marekani kutaka kufikiwe makubaliano ya kibinadamu ili kuruhusu misaada katika maeneo yote ya Sudan.