Katibu wa NEC ,Itikadi ,Uenezi na Mafunzo Ndugu Kenani Labani Kihongosi @kenanikihongosi anaendela na ziara yake ya Kichama yenye lengo la Kufuatilia Utekelezaji wa Ilani na ahadi za Chama ambapo amekutana na kutatua Changamoto za watu mbalimbali ikiwepo wenye Ulemavu.
#kilichoborakabisa