Ufuska Ujerumani: Maambukizi ya magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa 460%
Mambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) yanaonekana kuongezeka kwa kiwango cha kuogofya nchini Ujerumani.
Mambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) yanaonekana kuongezeka kwa kiwango cha kuogofya nchini Ujerumani.
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad-Baqer Qalibaf amepinga uamilishaji wa utaratibu wa snapback wa kurejeshewa Iran vikwazo, na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kinyume cha…
Seyyed Abbas Araghchi Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwamba: Hatua ya Marekani na…
Kamanda Mkuu wa Jeshi wa Iran, Meja Jenerali Amir Hatami amesisitiza kuwa, taifa hili limejiweka sawa na tayari kutoa jibu zito na la haraka dhidi ya vitisho na vitendo vyovyote…
Mshauri mkuu wa masuala ya kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, zaidi ya marubani 16 wa Israel waliangamizwa katika vita vya siku…
Tume ya Uchaguzi ya Ushelisheli imetangaza leo Jumapili kwamba, uchaguzi wa rrais uliofanyika hivi karibuni utaingia duru ya pili, kwani hakuna mgombea aliyepata zaidi ya asilimia 50 ya kura katika…
Ayatullah Sayyid Ali Khamenei Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ameitaja Israel kama utawala unaochukiwa zaidi duniani.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeiwekea tena Iran vikwazo vilivyokuwa vimendolewa huko nyuma kwa mujibu wa makubaliano ya nyuklia ya 2015 katika hatua iliyochochewa na mataifa ya Ulaya…
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdulmalik al-Houthi amesemam kuwa kiongozi wa muqawama wa Lebanon shahidi Sayyid Hassan Nasrallah bado ni jinamizi kwa Israel ingawa aliuawa na utawala huo…
Lamine Zeine Ali Mahaman Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Niger ameikosoa Ufaransa nchi mkoloni wa zamani wa nchi hiyo akisema kuwa nchi hiyo ya Ulaya inatumia ugaidi kudhoofisha…
Watu zaidi ya elfu tatu jana waliandamana katika mji wa Cape Town Afrika Kusini wakiitaka nchi hiyo kukata uhusiano wa kibiashara na kidiplomasia na Israel, ikiwa ni pamoja na kufunga…
Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amehutubia maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashem Safi al-Din huko Beirut na kumhutubu…
Rais Masoud Pezeshkian WA Jamahauri ya Kiislam7u ya Iran amesema kuwa, taifa hili lingependelea kurejeshwa kwa vikwazo kuliko kutii matakwa "yasiyokubalika" ya Marekani ya kukabidhi akiba yake yote ya urani…
Kwa akali Wapalestina 40 wameuawa shahidi katika Ukanda wa Gaza tangu alfajiri ya Jumamosi.
Takribani watu 100 wanahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na vifusi vya mgodi wa dhahabu katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.
Serikali ya Indonesia imesisitiza kuwa, inafungana kikamilifu na malengo matukufu ya Palestina.
Raia zaidi ya 100 wametekwa nyara katika mkoa wa Ituri katika shambulio la wanamgambo wa Codeco. Raia waliotekwa nyara walikuwa wakirejea kutoka soko la Bule.
Kufuatia kuongezeka mashinikizo ya kimataifa kwa serikali na taasisi za Ulaya ili kutoa jibu kali kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza, Shirikisho la…
Leo ni Jumapili tarehe 5 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1447 Hiijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2025 Miladia.
Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena amekariri katika houba aliyoitoa katika Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa madai yake ya uwongo na yasiyo na msingi…
Katika taarifa yake kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuuawa shahidi Jenerali Nilforoshan na Sayyed Hassan Nasrallah, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi SEPAH limesisitiza kuwa litaendelea kuwa pamoja na imara na…
Katika taarifa yake kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuuawa shahidi Jenerali Nilforoshan na Sayyed Hassan Nasrallah, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi SEPAH limesisitiza kuwa litaendelea kuwa pamoja na imara na…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imemlaani Benjamin Netanyahu na hotuba yake iliyojaa uongo kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kusisitiza kuwa, lengo la uongozo huo…
Shehena kuu wa setilaiti ya Nahid-2 ya Iran, ambayo ilizinduliwa mwezi Agosti, kwa sasa inafanyiwa majaribio katika obiti. Shehena hiyo ina jukumu muhimu katika kuanzisha mawasiliano ya satelaiti.
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran ambaye amewasili Beirut kuhudhuria kikao cha Baraza la Kumbukumbu za Mashahidi wa Muqawama wa Hizbullah amesema kwamba, utawala wa Kizayuni…
Rais Andry Rajoelina wa Madagascar amelaani matukio ya vurugu yaliyotokea hasa katika mji mkuu Antananarivo na kuwataka wananchi wote wa Madagascar kuwa watulivu.
Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa mwito kwa taasisi za kimataifa kufanya mageuzi ya maana ambayo yatashughulikia changamoto zinazoukabili uchumi wa dunia.
Katika hatua inayoonekana kama kuunga mkono wazi wazi mauaji ya kimbari ya Wapalestina huko Gaza, Marekani imetangaza kuwa itafuta visa ya Rais wa Colombia, Gustavo Petro, kutokana na kauli aliyotoa…
Wajumbe wengi walitoka nje ya ukumbi wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kama ishara ya kupinga hotuba ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, wakati wa kikao cha 80…
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera za rais wa Marekani ziko kwenye mkondo wa kuibua mabadiliko makubwa na vurugu katika eneo lote la Asia ya Magharibi, akionya…
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimesaini mkataba wa dola bilioni 25 kwa ajili ya kujenga mitambo minne ya nishati ya nyuklia, kama sehemu ya makubaliano ya muda mrefu…
Meya wa jiji la London, Sadiq Khan, amemjibu kwa ukali Rais wa Marekani Donald Trump, akimtuhumu kuwa āmbaguzi wa rangi, jinsia, wanawake na mwenye chuki dhidi Uislamuā baada ya Trump…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, juhudi za mataifa matatu ya Ulaya ya Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani za kuhuisha vikwazo vya Baraza la Usalama…
Makamu wa Rais wa Tanzania Philip Mpango amesisitiza msimamo wa muda mrefu wa bara la Afrika wa kudai kuwa na angalau viti viwili vya kudumu vyenye kura ya turufu katika…
Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair yuko kwenye majadiliano ya kuongoza mamlaka ya mpito katika Ukanda wa Ghaza, ikiwa ni sehemu ya mpango unaoungwa mkono na Marekani wa…
Shirika la Intelijensia na Usalama la Somalia (NISA) limetangaza kuwa limetekeleza operesheni ya mashambulizi iliyowalenga viongozi wa kundi la kigaidi la Al-Shabab na kuua magaidi 24 akiwemo kiongozi wa kundi…
Waziri wa Vita wa Marekani Pete Hegseth, amewaamuru mamia ya majenerali na maadmeri wa Pentagon walioko kila pembe ya dunia kuripoti kwenye kambi ya Marine Corps iliyoko Quantico, Virginia, wiki…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mgogoro wa Ukraine ulipangwa na nchi za Magharibi kwa sura ya vita dhidi ya Russia vinavyopiganwa na Kiev.
Nchi tatu za Kiafrika zimetangaza kuwa zimehitimisha unachama wao katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
Leo ni Jumamosi tarehe 4 Mfunguo Saba Rabiul-Thani 1447 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 5 Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia, inayosadifiana na tarehe 27 Septemba 2025 Miladia.
š CAF Champions League ā Raundi ya Kwanza (Mchezo wa Kwanza) š Uwanja: EstĆ”dio Nacional de Ombaka, Benguela ā Angolaš Tarehe: 20 Septemba 2025ā½ Matokeo: Wiliete SC 0 ā 3…
Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa Iran iko tayari kikamilifu kwa hali yoyote endapo nchi za Ulaya zitaendelea na hatua ya kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa kupitia kile kinachoitwa utaratibu…
Rais wa Bolivia, Luis Arce, amekemea vikali Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusababisha maumivu na vifo duniani kote na ākutekeleza mauaji ya kimbariā katika Ukanda wa Gaza…
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), Philippe Lazzarini, ametoa onyo kali kuhusu hali ya kibinadamu ya Gaza kiasi kwamba Wapalestina wanafadhilisha kufa…
Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris, siku ya Alhamisi ameitaka jumuiya ya kimataifa na Umoja wa Mataifa kulitambua kundi la waasi la RSF nchini humo kama ākundi la kigaidi.ā
Jiji la Tehran wiki hii ni mwenyeji wa ELECOMP 2025, maonyesho makubwa na yenye ushawishi mkubwa zaidi nchini Iran yanayohusu teknolojia za elektroniki, kompyuta, na biashara kwa njia ya mtandao…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema vita vya miongo miwili vilivyoendeshwa na Marekani ni chanzo cha migogoro ya sasa ya Afghanistan, huku akionya kuwa kurejea kwa…
Kuanza tena meneva ya kijeshi kati ya Uturuki na Misri, sambamba na kupelekewa idadi kubwa ya wanajeshi wa Misri katika Peninsula ya Sinai, kumeutia wasiwasi utawala wa Kizayuni.
Nchi kadhaa duniani zikiongozwa na Marekani zinapigana vikumbo katika kuiga na kutengeneza nakala za ndege isiyo na rubani ya Shahed ya Iran, ambayo si ghali lakini yenye ufanisi na usahihi…
Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) na waangalizi wa kikanda na kimataifa wamesifu uchaguzi wa rais wa Septemba 16 nchini humo na kusema kuwa ulikuwa huru na wa haki.