Serikali yasisitiza mfumo stakabadhi ghalani kwa mkulima
SIMIYU: Serikali imeitaka Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala kuendelea kutatua changamoto zote zilizopo katika mfumo stakabadhi ghalani kwani ndiyo mfumo ambao umeonyesha mafanikio makubwa katika kumlinda Mkulima. Aidha,…