Ni vita ya Chipo, Maxime
MIEZI 10 na siku 9 imepita kufikia leo Januari 21, 2026 na tunakwenda kushuhudia tena mtanange baina ya Mtibwa Sugar dhidi ya Mbeya City, huku safari hii ikiwa ni katika…
MIEZI 10 na siku 9 imepita kufikia leo Januari 21, 2026 na tunakwenda kushuhudia tena mtanange baina ya Mtibwa Sugar dhidi ya Mbeya City, huku safari hii ikiwa ni katika…
MIEZI 10 na siku 9 imepita kufikia leo Januari 21, 2026 na tunakwenda kushuhudia tena mtanange baina ya Mtibwa Sugar dhidi ya Mbeya City, huku safari hii ikiwa ni katika…
MUDA mchache baada ya Singida Black Stars kukubali kumwachia Clatous Chama atimkie Simba, uongozi wa klabu hiyo upo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kiungo Mkongomani, Linda Mtange kutoka…
AZAM baada ya jana kumaliza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate, akili yao sasa ipo nchini Kenya ikiwa na kibarua cha kuikabili Nairobi United ambayo imeongeza mashine…
NYOTA wa timu zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), wanatarajia kuchuana katika mashindano ya kugombea Kombe la Ramadhani 'Ramadhan Star League'.
WAKATI timu zikiwa bado zinajitathmini na kujipanga upya namna zikavyoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, nyota wa Savio, Oscar Anthony ametaja sababu mbili zilizowakwamisha msimu…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Gianni Infantino katika ofisi za FIFA zilizopo…
Kutinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zilizofikia tamati huko Morocco juzi Jumapili, kumeonekana kuibeba Taifa Stars.
Habari kutoka chanzo cha uhakika ndani ya Simba, imethibitisha kuwa tayari imeshafikia makubaliano na kiungo huyo na tayari ameshasaini mkataba wa mwaka mmoja.
WINGA wa Azam FC, Tepsi Evance ametua JKT Tanzania kwa mkopo wa miezi sita akiungana na aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Sospeter Bajana ambaye alitua kikosini hapo mwanzoni mwa msimu…
Depu aliyeingia katika kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Maxi Nzengeli, alianza kwa kupiga pasi iliyozaa bao la Mudathir Yahya katika dakika ya 81.
KAMA Mwanaspoti lilivyowajulisha mapema baada ya Jean Charles Ahoua kuuzwa CR Belouizdad ya Algeria, pia Steven Mukwala naye alikuwa mbioni kuondoka klabuni hapo, ndivyo ilivyo kwa sasa baada ya straika…
NYOTA wa zamani wa Simba, Edward 'Edo' Christopher yupo hatua ya mwisho kabla ya kurejea tena uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akihusishwa na Stand United maarufu 'Chama…
KIUNGO mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Fredrick Magata amesema kufunga bao katika mechi ya Ligi Kuu Bara akiwa na kikosi hicho msimu huu kwake ni rekodi mpya katika maisha yake, kwani…
MASHINDANO Maalumu ya Gofu ya Dar es Salaam Mzizima 'Lions play for Sight' yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Gymkhana yakishirikisha wachezaji 70, yamekusanya jumla ya Sh112 milioni, zitakazotumika katika kuchangia huduma…
UONGOZI wa Pamba Jiji umemalizana na aliyekuwa beki wa kati wa Mbeya City, Gabriel Mwaipola ambaye anaenda kuziba pengo la Abdallah Kheri 'Sebo' aliyetimkia Singida Black Stars.
Simba imeendelea kukutana na matokeo mabaya kwenye michezo ya Ligi Kuu msimu huu baada ya jana kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar.
KLABU ya Yanga, imemchukua kwa mkopo wa miezi sita golikipa wa Singida Black Stars, Hussein Masalanga ambaye atahudumu kikosini hapo hadi mwisho wa msimu huu.
KIUNGO mkabaji wa Pamba Jiji, Kelvin Nashon amesema mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon) 2025 yaliyomalizika jana huko Morocco, yamemwongezea uzoefu na kujiamini, jambo ambalo litamsaidia katika Ligi Kuu…
BAO la pili lililofungwa na kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika dakika ya 35 wakati timu hiyo ikiizamisha Coastal Union kwa mabao 3-0 juzi usiku kwenye…
WAKATI zikibakia takribani wiki mbili kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Januari 30, 2026, mabosi wa Namungo wamefungua mazungumzo rasmi ya kuipata saini ya kiungo mshambuliaji wa kikosi cha…
UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa JKU FC ya visiwani Zanzibar, Tariq Mohamed Mkonga, baada ya pande mbili kati ya…
KMC inaendelea na maboresho mbalimbali dirisha hili dogo na kwa sasa uongozi wa kikosi hicho uko katika mazungumzo ya kumnasa kiungo mshambuliaji wa Geita Gold inayoshiriki Ligi ya Championship, Richardson…
GOLI alilofunga jana mshambuliaji wa Al Nassr ya Saudia, Clara Luvanga dhidi ya Neom SC Ligi Kuu ya wanawake ya Saudi Arabia limemfanya afikishe idadi ya mabao 12 na asisti…
KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Zuwena Aziz ‘Zizou’, anayekipiga katika timu ya Mogbwemo Queens ya Sierra Leone ametaja utofauti wa ligi ya nchi hiyo na Tanzania.
VIONGOZI wa Mendiola inayoshiriki Ligi Kuu Ufilipino wako kwenye mchakato wa kumboreshea mkataba winga wa Kitanzania, John Mgong’os baada ya kuridhishwa na kiwango chake.
KASI ya wachezaji wa Kitanzania wanaocheza soka nje kurudi nyumbani inazidi kuongezeka baada ya kiungo mshambuliaji wa zamani wa Beykoz Anadolu Spor ya Uturuki, Shafii Omary Kimambo naye kuunga juhudi…
KIUNGO fundi wa JKT Queens, Elizabeth John amesema ushindani wa namba katika kikosi hicho ni mkubwa hasa eneo la kiungo, lakini umechangia kuongeza kiwango cha wachezaji.
KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema sababu kubwa ya timu hiyo kutofanya vizuri mwanzoni mwa msimu wa Ligi Kuu ya Wanawake ni kukosa mshambuliaji mwenye uwezo wa kufunga mabao.
MECHI sita alizocheza golikipa wa Tausi FC, Chelsea Ngole zimemuamsha kupambana zaidi kuhakikisha anaisaidia timu hiyo kutoruhusu bao.
MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu uliopita, Stumai Abdallah hajafikia kiwango alichokionyesha msimu uliopita baada ya kuanza msimu huu kwa kufunga bao moja na asisti nne.
BAADA ya Mbeya Kwanza kumuuza, Boniface Mwanjonde aliyejiunga na Fountain Gate dirisha hili dogo la Januari 2026, mabosi wa kikosi hicho wamekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa maafande wa Tanzania…
KILICHOTOKEA msimu wa 2012-2013 katika Ligi Kuu Bara, kinabaki kuwa kumbukumbu nzuri kwa Mtibwa Sugar inapokwenda kucheza dhidi ya Simba leo Jumapili kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar kwani…
FOUTAIN Gate imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi ya Championship, Boniface Mwanjonde baada ya kuonyesha kiwango bora msimu huu.
KIUNGO mshambuliaji wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’ aliyekuwa akihusishwa kutua Azam FC, ameibukia KMC kwa kusainishwa mkataba wa miaka ili kuitumikia timu hiyo inayopambana kujiweka katika nafasi nzuri kutokana na…
MABOSI wa Coastal Union wanaendelea kufanyia maboresho kikosi ambapo kwa sasa wako katika mazungumzo kumsajili beki wa Mbuni inayoshiriki Ligi ya Championship, Ambokise Mwaipopo.
BENCHI la ufundi la Alliance ya Mwanza limemaliza mkataba wa mwaka mmoja liliosaini msimu uliopita, huku likisubiri uongozi uamue kuanza mazungumzo ya mkataba mpya au kuliachia likatafute changamoto kwingine.
KMC inaendelea na maboresho katika dirisha hili dogo la usajili ambapo kikosi hicho cha Kinondoni jijini Dar es Salaam kiko kwenye hatua za mwisho za kumsajili kiungo Omary Chibada.
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ameondoka nchini leo Januari 16, 2026 kwenda Morocco tayari kwa ajili ya kupokea kijiti cha maandalizi ya Kombe la Mataifa (AFCON)…
WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba anatarajia kunogesha tamasha litakalowakutanisha watumishi wa Bunge na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wanaoshabikia klabu za Yanga na Simba akiwa mgeni rasmi.