Msako wa pointi unaendelea championship!
BAADA ya jana kupigwa mechi mbili za raundi ya 12 za Ligi ya Championship, msako mwingine wa kuwania pointi tatu muhimu unaendelea leo Jumamosi na kesho Jumapili, huku ushindani kwa…
BAADA ya jana kupigwa mechi mbili za raundi ya 12 za Ligi ya Championship, msako mwingine wa kuwania pointi tatu muhimu unaendelea leo Jumamosi na kesho Jumapili, huku ushindani kwa…
ULE msimu wa raha kutoka visiwa vya marashi ya karafuu sasa umefika, mashabiki, wapenzi na wadau wa soka ndani na nje ya Zanzibar wamekaa mkao wa kula wakisubiria kushuhudia burudani…
ULE msimu wa raha kutoka visiwa vya marashi ya karafuu sasa umefika, mashabiki, wapenzi na wadau wa soka ndani na nje ya Zanzibar wamekaa mkao wa kula wakisubiria kushuhudia burudani…
MSIMU wa 20 wa michuano ya Kombe la Mapinduzi unatarajiwa kuanza rasmi kesho wakati timu za Kundi A zitakazopokuwa zikikata utepe wa mwaka 2026 katika msako wa taji la michuano…
UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Pamba Jiji, Saleh Masoud Abdallah 'Tumbo', baada ya mchezaji huyo kudaiwa kufikia uamuzi huo…
SIMBA inatarajiwa kuupokea ugeni mzito wa kocha mpya, Steve Barker na wasaidizi wake wikiendi hii kabla ya kuanza safari ya kwenda Zanzibar kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026, lakini…
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema inajivunia kuwa mwenyeji wa mashindano ya Africa Sports Federation ambayo yanafanyika visiwani hapa kwa mara ya kwanza.
HUTOKEA mara chache sana kwa wachezaji kupigiana chapuo na hiki kimedhihirishwa na nyanda wa Coastal Union, Wilbol Maseke aliyemtaja kipa wa Pamba Jiji, Yona Amosi kuwa anapaswa kutazamwa kwa jicho…
SIKU chache baada ya kufahamika kuwa mabosi wa KMC wameafiki kuamuajiri aliyekuwa kocha wa Zimamoto ya Zanzibar, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ ili kwenda kuchukua nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo…
UONGOZI wa Pamba Jiji umekubali yaishe kwa kuafikiana na aliyekuwa beki wa kati wa kikosi hicho, Abdallah Kheri ‘Sebo’, ili kwenda kujiunga rasmi na Singida Black Stars kwa ajili ya…
KIKOSI cha Singida Black Stars kinaondoka leo Ijumaa kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya mechi ya kwanza ya ufunguzi ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Mlandege itakayopigwa Jumapili ya Desemba…
MASHABIKI wa Yanga someni hii itawapa raha. Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kupitia Kamati ya Nidhamu, imeishushia rungu zito AS FAR Rabat ya Morocco, uamuzi ambao utawabeba Mabingwa hao wa…
RAUNDI ya pili ya mechi za makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 inaendelea leo Ijumaa kwa mechi nne zinazojumuisha timu za Kundi A na B ambazo…
KATI ya nyota 25 kutoka Ligi Kuu Bara wanaoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zinazoendelea nchini Morocco, wale wa Yanga wameonekana kuanza na namba nzuri wakiongozwa na…
Klabu ya TMA Stars FC kupitia kwa Katibu wake Mkuu, Mbwana Hamad Mbwana umetangaza kusitisha mkataba na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Habibu Kondo pamoja na wasaidizi wake.
MSHAMBULIAJI Prince Dube amefunga bao flani la kihistoria wakati timu ya taifa ya Zimba-bwe ikilala kwa mabao 2-1 mbele ya Misri katika michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025…
KLABU ya TRA United imeanza harakati za kuimarisha kikosi chake katika dirisha dogo la usajili linalota-rajiwa kufunguliwa Januari Mosi 2026 baada ya kuonyesha nia ya kuhitaji huduma ya beki wa…
KIUNGO mshambuliaji Mtanzania aliyekuwa anacheza Ligi Kuu ya Oman katika klabu ya Fanja, Enock Jiah amerejea nchini na kwa sasa anasikilizia klabu za Ligi Kuu Bara itakayomvutia kimasilahi ili ajiunge…
BAADA ya Mwanaspoti kuripoti beki wa kati wa Mashujaa, Abdulmalik Zakaria yupo mbioni kujiunga na Singida Black Stars, mwenyewe amefichua ni kweli ameshamalizana na maafande wa Mashujaa na kwamba mipango…
KOCHA Mkuu wa KMC, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amesema timu haiwezi kufunga bila ya kuwa na washambuliaji wenye ubora wa kuona lango, hivyo mpango wa kwanza ndani ya timu hiyo ni…
BAADA ya kiungo wa Azam, Adolf Mtasingwa kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi minane akiuguza majeraha ya kifundo cha mguu, nyota huyo amerejea na kuungana na wachezaji wenzake, ikiwa…
HAIKUWA kinyonge. Nigeria wenyewe wameukubali mziki wa Taifa Stars katika mechi ya kwanza ya fainali za mataifa ya Afrika huko Morocco kwa namna ilivyotoa upinzani licha ya kikosi cha Super…
Ni dakika mbili tu zilizoyeyusha uwezekano wa Taifa Stars kuishtua Afrika kwa kutoka sare na Nigeria katika mchezo wa Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliochezwa kwenye Uwanja wa…
SIKU chache baada ya kuripotiwa kutua Mbeya City kuelekea usajili wa dirisha dogo utakaofunguliwa Januari Mosi 2026, kiungo Abdallah Yasin Kulandana ametabiriwa kufanya vizuri akiwa na kikosi hicho katika mechi…
AZAM inalitaka Kombe la Mapinduzi na kuhakikisha hilo linatimia, mastaa wa timu hiyo ambao wameanza mazoezi juzi wamefichua jambo.
FOUNTAIN Gate imeibuka na hesabu tofauti, wakati wengine wakisaka mastaa kutoka Ligi Kuu Bara na nje ya Tanzania, yenyewe imekimbilia Ligi ya Championship kuangalia nyota wa kuimarisha kikosi chao.
KOCHA Abdallah Mohammed ‘Baresi’ ni kama ameanza kazi kimyakimya KMC kwani hivi sasa kuna jambo analifanya chini kwa chini na akikamilisha tu, basi atatangazwa rasmi.
WAKATI Ligi Kuu Bara ikiwa kwenye mapumziko kupisha Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zinazofanyika Morocco, makipa Erick Johora wa Mashujaa, Omary Gonzo (JKT Tanzania) na Costantine Malimi…
Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Miguel Gamondi amekiri hali ya hewa ya baridi nchini Morocco ni changamoto kwa baadhi ya wachezaji wa kikosi hicho.
KIUNGO wa timu ya taifa ya Tanzania, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ana imani kikosi hicho kitafikia malengo katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco.
BEKI wa kimataifa wa Afrika Kusini, Rushine De Reuck, amekiri kuondoka kwa kocha Fadlu Davids ndani ya Simba kumempa wakati mgumu yeye na Neo Maema aliyowavuta Msimbazi.
TANGU yalipotangazwa makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 iliyoanza juzi huko Morocco, mashabiki na wapenzi wa soka nchini wamekuwa na kihoro kwa timu ya taifa,…
MABOSI wa TRA United bado hawajakata tamaa juu ya kumnasa winga Denis Nkane anayeitumikia Yanga, baada ya sasa kuwasilisha maombi rasmi ya kutaka iwepe mchezahi huyo.
KOCHA msaidizi wa Singida Black Stars, David Ouma amesema michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 wanaibeba kwa ukubwa kwa kuitumia kwa ajili ya kuiweka timu katika ubora tayari kwa michuano…
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Pamba Jiji, George Mpole ametaja sababu ya washambuliaji wa ndani kushindwa kuwa na mwendelezo wa ubora, huku akiweka wazi nyota wa kigeni wanabebwa na viongozi na…
KIUNGO wa Yanga, Salum Abubakar 'Sure Boy' amesema mabonanza yanayofanywa na wachezaji kipindi cha mapumziko ya Ligi Kuu Bara ni chachu ya kuboresha ushindani na kuwakutanisha pamoja.
UNAWEZA kusema winga Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ gari limewaka akiwa kwao DR Congo kufuatia kasi yake aliyonayo ya upachikaji mabao.
KOCHA wa maafande wa Tanzania Prisons, Mkenya Zedekiah ‘Zico’ Otieno, ameanza mipango ya kuisuka upya timu hiyo katika dirisha dogo litakalofunguliwa Januari Mosi, 2026, huku akimfuatilia aliyekuwa mshambuliaji wa Pamba…
KIUNGO mshambuliaji wa maafande wa Mashujaa, amesaini mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2027, hivyo, kuzikaushia JKT Tanzania na Namungo ambao walikuwa wanamfuatilia dirisha hili dogo la Januari…
BEKI wa kati wa Coastal Union, Christopher Oruchum amesema kikosi chao kwa sasa kimeimarika na kinacheza soka la kuvutia, tofauti na hali ilivyokuwa awali kabla ya ujio wa benchi jipya…
WAKATI ikielezwa uongozi wa Singida Black Stars unaweza ukaachana na winga nyota wa timu hiyo, Ayoub Lyanga anayewindwa na Mbeya City, mabosi wa kikosi hicho wameanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji…
UONGOZI wa Pamba Jiji umefungua mazungumzo ya kupata saini ya kipa wa Mbeya City, Hashim Mussa, baada ya kudaiwa nyota huyo anatafuta changamoto sehemu nyingine, kutokana na kutopata nafasi ya…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege, imetozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la mashabiki wa timu hiyo kufanya vurugu kwa kurusha chupa uwanjani wakati mechi ikiendelea.
BEKI wa kushoto wa Bigman, Adeyum Saleh, amesema siri ya timu hiyo kufanya vizuri ni kwa sababu ya wachezaji kuelewana aina ya uchezaji, hali ambayo ilikuwa ngumu kwao mwanzoni mwa…