29.09.2025
Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kukamilisha pendekezo la mpango wa amani wa Gaza atakapokutana baadae leo na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu+++Serikali ya Tanzania inatuhumiwa na shirika la…
Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kukamilisha pendekezo la mpango wa amani wa Gaza atakapokutana baadae leo na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu+++Serikali ya Tanzania inatuhumiwa na shirika la…
Kitengo cha kijeshi cha Hamas kimesema leo kuwa kimepoteza mawasiliano na mateka wawili, Matan Angrest na Omri Miran, wakati wa operesheni kali za Israel katika vitongoji viwili vya Gaza City.
Umoja wa Mataifa umeirejeshea Iran vikwazo na marufuku ya silaha kuhusiana na mpango wake wa nyuklia, hatua iliyochochewa na Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, ambazo zinasema Tehran imekiuka makubaliano ya mwaka…
Chama tawala cha Labour nchini Uingereza kimeanza mkutano wake wa mwaka, huku Waziri Mkuu Keir Starmer akiwashawishi wabunge anaweza kuongoza kile alichokiita “mapambano ya maisha yetu” dhidi ya chama Reform…
Watu 40 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 120 wamejeruhia baada ya msongamano kutokea katika mkutano wa kisiasa wa nyota wa filamu na mwanansia maarufu Vijay katika jimbo la Tamil…
Rais wa Marekani Donald Trump ameashiria uwezekano wa makubaliano ya kihistoria Mashariki ya Kati, siku moja kabla ya mkutano wake na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, huku shinikizo la…
Serikali ya Ujerumani imetangaza mipango ya kuanza mazungumzo na Taliban kuhusu urejeaji wa raia wa Afghanistan, hatua iliyokosolewa vikali na upinzani ukisema inaleta uhalali kwa kundi hilo lililotengwa kimataifa.
Vifaru vya Israel vimeingia ndani ya Gaza City huku watu takribani 79 wakiripotiwa kuuawa katika muda wa saa 24 na mamlaka za afya zikiripoti idadi ya waliouawa katika mzozo huo…
Urusi imerusha mamia ya makombora na droni dhidi ya Ukraine usiku kucha Jumapili, na kuua takribani watu wanne akiwemo msichana wa miaka 12 mjini Kyiv, huku majeruhi wakipindukia 40 katika…
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed, amewashukuru watu waliohudhuria tamasha la Global Citizen jijini New York, Marekani siku ya Jumamosi kwa kutumia sauti zao kudai haki…
Iran imelaani urejeshwaji "usio halali" wa vikwazo vya Umoja wa Mataifa kuhusiana na mpango wake wa nyuklia, baada ya kuvunjika kwa mazungumzo na mataifa ya magharibi na mashambulizi ya Israel…
Iran imelaani vikali hatua ya kurejeshewa vikwazo na Umoja wa mataifa kuhusiana na mpango wake wa nyuklia, baada ya mazungumzo na mataifa ya magharibi kutofanikiwa pamoja na Israel na Marekani…
Magari ya kijeshi ya Israel yameendelea kuingia ndani ya vitongoji vya Gaza City, yakilenga maeneo ya Sabra, Tel Al-Hawa, na Al-Naser.
Ukraine imesema Urusi imefanya mashambulizi makubwa kwa kutumia mamia ya droni na makombora na kuuwa takriban watu wanne katika mji mkuu Kyiv pekee, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa.
Raia wa Moldova wanapiga kura hii leo katika uchaguzi wa bunge muhimu unaoweza kuamua iwapo taifa hilo litaendelea na mwelekeo wake wa kujiunga na Umoja wa Ulaya chini ya Rais…
Serikali ya Ujerumani inapanga kuanza mazungumzo ya moja kwa moja na mamlaka ya Taliban mjini Kabul kuhusu uhamishaji wa raia wa Afghanistan wenye rekodi ya uhalifu kutoka Ujerumani.
Serikali ya Ujerumani inapanga kuanza mazungumzo ya moja kwa moja na mamlaka ya Taliban mjini Kabul kuhusu uhamishaji wa raia wa Afghanistan wenye rekodi ya uhalifu kutoka Ujerumani.
Kenya imepiga hatua kubwa katika kupanua maandalizi ya kidijitali. Kufikia mwaka 2023, asilimia 82 ya shule za msingi za umma zilikuwa zimeunganishwa na umeme kupitia gridi ya taifa, na asilimia…
Tulishirikiana kulifukua kaburi hilo hadi tukalipata sanduku lililokuwa ndani, ambalo lilikuwa limeshaoza lakini maiti iliyoanza kuharibika ilikuwemo ndani. Kitu ambacho kilitushitua ni kuwa kwenye dole gumba lake la mkono wa…
🟢 YANGA SC – Player Ratings (2-0) DJIGUI DIARRA – 7Kipa wa kimfumo, alidhibiti mipira ya Wiliete bila tatizo kubwa. Alitoa usalama kwenye lango lake. KIBWANA SHOMARI – 6.5Imara katika…
🟢 YANGA SC YAENDELEA KUIMBA UKALI WAKE – 5-0 JUMLA, WAPATA NYUZO MBILI NYUMBANI 🔮 Matokeo Yanayofuata Uchanganuzi:Yanga SC inaonyesha umuhimu wa ushindi mfululizo, kudumisha kizingiti cha kutoruhusu mabao na…
Hapa kuna uchambuzi wa mechi za leo za kimataifa za timu za Tanzania (Simba SC na Azam FC) kwa Kiswahili: 🔴 Simba SC vs Gaborone United 🔮 Utabiri wa mechi:…
📊 UCHAMBUZI WA INTER MIAMI – SARE YA 1-1 DHIDI YA TORONTO FC Inter Miami walikosa kurekebisha faida ya mapema na kumaliza kwa sare ya 1-1 dhidi ya Toronto FC,…
📊 UCHAMBUZI WA WAENDELEZAJI WA REAL MADRID – KIPIGO CHA 5-2 KATIKA DERBY YA MADRID Real Madrid walipata kipigo chungu cha 5-2 dhidi ya Atletico Madrid kwenye derby iliyochezwa RiyadhAir…
Hii habari inazungumzia mwendelezo wa hatua za awali za Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2025/26) ambapo mechi za marudiano zimeamua nani anaingia roundi ya pili ya mchujo. Hapa…
Baada ya Septemba kuanza kwa wasiwasi kufuatia kupoteza mechi mbili mfululizo za EPL (dhidi ya Tottenham na Brighton), Manchester City ya Pep Guardiola imejibu kwa nguvu kubwa na sasa imepata…
Hii ilikuwa derby ya kihistoria, yenye msisimko wa kila aina na matukio makubwa yaliyogeuza uso wa La Liga msimu huu. Atletico Madrid walifanikiwa kufunga mabao matano dhidi ya Real Madrid…
Kaizer Chiefs (vigogo wa Afrika Kusini) wameonyesha uthabiti na uzoefu baada ya kutinga Raundi ya Pili ya Awali ya Kombe la Shirikisho la CAF (2025/26) kwa ushindi wa penalti 5–4…
Michuano ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (TotalEnergies CAF Champions League) imeendelea kushuhudia vigogo mbalimbali wa soka barani wakipiga hatua kuelekea hatua ya makundi. 🔥 Orlando Pirates (Afrika Kusini)…
Urusi imerusha “mamia ya ndege zisizo na rubani na makombora” dhidi ya Ukraine usiku wa Jumamosi, Septemba 27, kuamkia Jumapili, Septemba 28, kulingana na Waziri wa Mambo ya Nje wa…
Vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran vimerejeshwa rasmi siku ya Jumapili, Septemba 29 usiku wa manane, kufuatia kushindwa kwa mazungumzo na nchi za Magharibi, ambazo zinadai kuhakikishiwa juu…
Iran yalaani hatua ya kurejeshewa vikwazo na Umoja wa mataifa +++ Vifaru vyazidi kuingia ndani ya vitongoji vya Gaza, wengi wakwama +++ Moldova yachagua bunge jipya katika mtihani wa mwelekeo…
Hamas yapoteza mawasiliano na mateka wawili kutokana na mashambulizi ya Israel +++ Mataifa ya Magharibi yasema Iran kurejeshewa vikwazo si mwisho wa diplomasia +++ Starmer aonya chama cha Labour Uingereza…
⚽ Muhtasari wa Mchezo Mechi ya leo, Jumamosi, Septemba 27, 2025, ilimalizika kwa Yanga SC kushinda 2–0 dhidi ya Wiliete SC, na kuifanya jumla ya magoli (agg) kuwa 5–0 baada…
Shirika la habari la Palestina WAFA limeripoti zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na Israel tangu Jumamosi Alfajiri wengi wao wanawake na watoto. Watu 27 kati ya hao…
⚽ Matukio Muhimu ya Mchezo
Mamlaka za Syria zimetoa Waranti wa kukamatwa kwa Rais wa zamani Bashar al-Assad. Anakabiliwa na tuhuma za kupanga mauaji, kutesa watu hadi kifo na kufanya uchochezi uliokusudia kuanzisha vita vya…
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amesema Marekani iliitaka nchi yake isalimishe madini yake yote ya urani iliyoyarutubisha ili iepuke kuwekewa vikwazo kwa kipindi cha miezi mitatu.
Wizara ya ulinzi ya Denmark imesema droni zimeshuhudiwa katika baadhi ya kambi zake za jeshi usiku wa kuamkia Jumamosi. Droni hizo zimeonekana siku chache baada ya droni nyingine tatu zilizoshuhudiwa…
Raia wa Ushelisheli wamepiga kura Jumamosi 27.09.2025 ili kumchagua Rais na wabunge katika uchaguzi mkuu. Rais Wavel Ramkalawan wa chama cha Linyon Demokratik Seselwa anatafuta kuchaguliwa katika mhula wa pili.
Aliyekuwa makamu wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, anakabiliwa na kesi mahakamani kwa mashtaka yanayojumuisha mauaji na uhaini, hali inayochochea hofu ya kurejea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe…
Katika hotuba yenye msisitizo na maono ya mbali mbele ya wajumbe wanaoshiriki Mjadala Mkuu wa mkutano wa 80 wha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Waziri wa Mambo ya Nje…
Zaidi ya watu 30 wameuawa Ukanda wa Gaza usiku wa kuamkia Jumamosi kutokana na mashambulizi ya jeshi la Israel. Kulingana na watoa huduma za afya miongoni mwa waliouawa ni watu…
Urusi imesema droni za Ukraine zimeishambulia miundombinu ya mafuta katika mkoa wake wa Chuvashia. Gavana Oleg Nikolaev amesema mashambulizi hayo yamesababisha mitambo ya mafuta kwenye kituo kilicholengwa kusimama.
Iran imewarejesha nyumbani mabalozi wake katika nchi za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ili kufanya mashauriano kuhusu mgogoro wa mchakato wa Umoja wa Mataifa ulioanzishwa na nchi hizo wa kuirejeshea tena…
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Alexander Dobrindt amesema serikali nchini humo inataka kufikia makubaliano na Syria mwaka huu, ili kuwarejesha waomba hifadhi ambao maombi yao yalikataliwa.
Waziri Mkuu wa Mali Abdoulaye Maiga ameishutumu Algeria mbele ya Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kwa kile alichokiita kuunga mkono "ugaidi wa kimataifa" baada ya kuidungua droni ya jeshi…
Alikwenda mbele ya kaburi hilo akachutama na kusoma kibao kilichowekwa mbele ya kaburi hilo ambacho kilikuwa na jina la marehemu. “Ndiyo hili hili. Jina lake limeandikwa hapa. Thomas Christopher,” akaniambia.
Afisa upelelezi aliponiuliza hivyo, tulicheka sote. “Ni kama hivyo, lakini huyu mtu inaonekana yupo, kwa sababu alama ya dole anayoiweka katika karatasi anazoziacha kwa marehemu ni yake.” “Kweli, huo ni…
Hali ya dunia leo inabaki changamoto na yenye mabadiliko makali. Umoja wa Mataifa umeanza mjadala wa kihistoria juu ya uwezekano wa kuwa na Katibu Mkuu wa kwanza wa kike baada…