Wataalam wa UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza
Ripoti hiyo, iliyotolewa Septemba 16, 2025, imesema Israel imefanya vitendo vinne kati ya vitano vinavyotambuliwa kimataifa kama mauaji ya kimbari, katika mzozo wake na Hamas ikiwemo: Kuua raia kwa makusudi,…